Mapokezi Ya Diamond Platnumz
Yalivokuwa Jijini Dar es salaam Leo.
Diamond Platnumz ameingia Dar es salaam
Tanzania leo Dec 02 akiwa na tuzo zake 3
alizozipata kutoka Channel O ambapo Watanzania
wamejikusanya barabarani kutoka Airpot mpaka
mitaa aliyokuwa amepita.
Msafara ulipotoka Airpot umepitia Buguruni mpaka
Kariakoo ambapo ulipofika Kariakoo ilibidi Jeshi la
Polisi liingilie kati ili kupunguza foleni ya watu
waliokuwa wakitaka kumshika mkono Diamond.
Diamond alipofika Buguruni aliamua kushuka
kwenye gari ya wazi aliyokuwa amepanda na
kutembea kwa miguu na mashabiki wake mpaka
Kariakoo,hizi ni baadhi ya picha za mapokezi yake
hayo.
UMEICHEKI HII ? Mapokezi Ya Diamond Platnumz
Yalivokuwa Jijini Dar es salaam Leo.
Related Posts
PENZI LA WEMA NA OMMY DIMPOZ LIPO WAZI, WAPIGA PICHA USIKU WAKIWA BAFUNI
Ukiona manyoa?!!! Hatimaye zile tetesi na hisia za kwamba mwaigizaji Wema Sepetu na msanii wa muziki[...]
Feb 07, 2015WAHITIMU 16,600 JKT WAAJIRIWA NA VYOMBO VYA ULINZI
VIJANA 16,594 waliohudhuria mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) wameajiriwa na vyombo vya Ulinzi[...]
Feb 04, 2015YANGA YAKWEA KILELENI
TIMU ya soka ya Yanga jana ilipaa kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu baada ya kuifunga Coastal Union b[...]
Feb 04, 2015MTUMISHI WA MUNGU AKUTWA NA MKE WAMTU ALIPOBAMBWA ATAKA KUTOA RUSHWA
Ohoo, ama kweli dunia imekwisha! Mtumishi wa Mungu (Muinjilisti) ambaye kipindi chake cha dini kinar[...]
Jan 13, 2015YANGA YAWAFUNGULIA MASHTAKA JAJA, OKWI NA KASEJA
KLABU ya Yanga imewafungulia mashtaka waliokuwa wachezaji wake watatu, Emmanuel Okwi, Juma Kaseja na[...]
Jan 12, 2015SIMBA, MTIBWA FAINALI YA KISASI
SIMBA na Mtibwa Sugar leo zitacheza mechi ya fainali ya kuadhimisha miaka 51 ya Mapinduzi ya Zanziba[...]
Jan 12, 2015
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Chapisha Maoni
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.